Na Jaidan Johnson
Wakati timu ya soka ya Simba ya jijini Dar es salaam ikisubiri maamuzi ya shauri lake walilopeleka shirikisho la soka duniani FIFA, Shirikisho hilo kupitia kwa Rais wake Gianni Inflantino ametuma barua kama Ishara ya kuwapongeza Yanga kutwaa Ubingwa wa ligi kuu Tanzania bara msimu wa mwaka 2016/17. hiyo hapo chini barua soma.